#Local News

KAULI YA MAWAZIRI KUHUSU BAJETI

Baraza la mawaziri limetetea bajeti ya shilingi trilioni 3.91 ya mwaka wa kifedha wa 2024-25 likisema imeratibiwa kufanikisha utekelezaji wa ajenda ya serikali ya Bottom up.

Katika taarifa baada ya kikao cha baraza hilo, limesema mojawapo ya masuala yatayopewa kipaumbele ni kuafikia usawa wa kiuchumi na kijamii, ikiwemo afya kwa wote, elimu, maji safi na utoshelezi wa chakula.

Aidha, taarifa hiyo imesema bajeti hiyo inalenga kuhakikisha usawa wa kimaendeleo na kukuza ugatuzi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAULI YA MAWAZIRI KUHUSU BAJETI

THE BLUES YAWINDA JHON DURAN

KAULI YA MAWAZIRI KUHUSU BAJETI

POLISI AMPIGA HAKIMU RISASI MAHAKAMANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *