#Local News

KENYA YAPATA UFADHILI WA DOLA BILIONI 3.6

kenya imepata ufadhili wa dola bilioni 3.6 yaani shilingi bilioni 477 za kenya kutoka marekani zitakazofanikisha ujenzi Express Way kutoka Nairobi hadi Mombasa.

Barabara hiyo itaunganisha mji mkuu wa Nairobi na Mombasa hatua ambayo itaimarisha shughuli ya miji hiyo miwili yenye shughuli nyingi.

Makubaliano baina hya kenya na kampuni ya evestrong capital LLC yalitiwa Saini na mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu KENHA hapo jana wakati wa ziara yar ais Ruto nchini marekani.

Uekezaji huo ujtasimamiwa na taasisi za klifedha za marekani kwa ushirikiano na sekta za binafsi nchini.

Imetayarishwa na Janice Marete

KENYA YAPATA UFADHILI WA DOLA BILIONI 3.6

RUTO ATETEA HATUA YA KUWATUMA MAAFISA 1000

KENYA YAPATA UFADHILI WA DOLA BILIONI 3.6

KNUT YAAMRISHA WALIMU WA JSS KUREJEA KAZINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *