KENYA YAADHIMISHA MIAKA 60 YA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA NAIROBI
Sherehe za kuathimisha miaka 60 ya kidiplomasia zinaendelea jijini Nairobi huku mkuu wa mawairi Musalia Mudavadi akiongoza sherehe hizo.
Wakenya ambao wamechangia pakubwa katika shughuli za kidiplomasia wamepata fursa ya kupokeatuzo kwenye hafla hiyo.
Wanariatha mabigwa akiwemo Faith Kipyegon, Eliud Kipsonge wamepokezwa tuzo hizo huku timu ya kitaifa ya mchezo wa raga na shirika la ndege la kenya airways pia wakmetuzwa katika hafla hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































