#Local News

VIJANA KAKAMEGA WATOA WITO KWA WABUNGE KUSHIRIKIANA NA RAIS RUTO

Vijana katika kaunti ya Kakamega wanatoa wito kwa wabunge kumsaidia rais william Ruto kutekeleza matakwa waliyoibua ili kukabiliana na kupanda kwa gharama ya Maisha.

Vijana haovile vile wanasema kuwa kufufua kiwanda cha Mumias kunapaswa kufanywa kipaumbele ili kuhakikisha vijana hao wa eneo la magharibi wanapata.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *