#Local News

GACHAGUA AWATAKA MAWAZIRI WAPYA KUWA WAADILIFU

Naibu wa rais Rigathi Gachagua amewataka mawaziri kutia bidii kazini na vile vile kukumbatia maadili wanapowahudumia wakenya.

Kwa mujibu wa gachagua kuthamini ubora katika utumishi wa umma ni jambo la burasa na manufaa kwa wakenya.

Imetayrishwa na Janice Marete

GACHAGUA AWATAKA MAWAZIRI WAPYA KUWA WAADILIFU

AFISA WA GSU AUAWA KWA KUDUNGWA KISU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *