#Local News

WAKENYA 6 WASAKWA

Zoezi la kuwasaka wakenya 6 kujaza nafasi za makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC linaendelea, wakenya 5 wakijitetea hii leo mbele ya kamati ya uteuzi kuhusiana na uwezo wao wa kuhudumu kwenye tume hiyo.

Wanaohojiwa hii leo ni Grace Surpin, Hali Mutisya, Humphrey Kimani, Issak Shaban na Ibrahim Rashid.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA 6 WASAKWA

JUHUDI ZA KULIPA MADENI YA NHIF

WAKENYA 6 WASAKWA

PARENO, KARUGU WAHOJIWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *