WAKENYA 6 WASAKWA
Zoezi la kuwasaka wakenya 6 kujaza nafasi za makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC linaendelea, wakenya 5 wakijitetea hii leo mbele ya kamati ya uteuzi kuhusiana na uwezo wao wa kuhudumu kwenye tume hiyo.
Wanaohojiwa hii leo ni Grace Surpin, Hali Mutisya, Humphrey Kimani, Issak Shaban na Ibrahim Rashid.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































