#Local News

UCHUNGUZI WA AJALI YA KWAMBIRA WAANZA, WATU 3 WAFARIKI

Uchunguzi umeanza kufuatia ajali iliyotokea katika eneo la Kwambira, barabara ya Nairobi-Nakuru, ambapo watu watatu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Ajali hii inafuatia nyingine ya wiki iliyopita katika eneo hilo ambapo watu watano walikufa baada ya gari lao kupoteza mwelekeo.

Polisi wamewataka madereva kuwa waangalifu na kufuata sheria za trafiki ili kuepuka ajali zaidi.

Imetayarishwa na Janice Marete

UCHUNGUZI WA AJALI YA KWAMBIRA WAANZA, WATU 3 WAFARIKI

LIVERPOOL WAKARIBIA KUTWAA TAJI LA EPL

UCHUNGUZI WA AJALI YA KWAMBIRA WAANZA, WATU 3 WAFARIKI

TAHADHARI YA KIPINDUPINDU: WATU 6 WAFARIKI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *