#Local News

MAREJEO YA FUJO

Watu kadhaa wakiwemo wanahabari wanaendelea kuuguza majeraha baada ya kujeruhiwa hapo jana kwenye makabiliano kati ya wafuasi wa kiongozi wa chama cha DCP Rigathi Gachagua na wahuni waliokuwa wamejihami waliojaribu kuvuruga msafara wa Gachagua kutoka uwanja wa ndege JKIA.

Kundi hilo la wahuni lilirushia mawe msafara huo na kuwajeruhi wafuasi wa DCP mbali na kuharibu magari, muda mfupi baada ya msafara huo kuondoka katika uwanja wa JKIA

Gachagua alikuwa akirejea nchini kutoka Marekani.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAREJEO YA FUJO

PSC KUWAHOJI WANACHAMA WA SRC

MAREJEO YA FUJO

STARS UWANJANI KUWEKA HISTORIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *