#Local News

MKATABA WA SERIKALI-ADANI MAHAKAMANI

Mahakama imeipa serikali hadi tarehe 1 mwezi Agosti kuwasilisha Ushahidi kwamba kampuni ya KETRACO ilifutilia mbali mkataba wake na kampuni ya Adani ya usambazaji wa nguvu za umeme nchini.

Kwenye kikao cha kutajwa kwa kesi inayotaka Ushahidi huo kuwasilishwa, jaji Bahati Mwamuye aliarifiwa kuwa hilo halijaafikiwa, jaji Mwamuye akisema iwapo serikali haitafanya hivyo, basi kesi hiyo itasikilizwa kikamilifu.

Kesi hiyo itatajwa tarehe 27 Oktoba mwaka huu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MKATABA WA SERIKALI-ADANI MAHAKAMANI

CBK YAPUNGUZA RIBA YA MIKOPO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *