WATU 7 WA FAMILIA WAFARIKI KWENYE AJALI HUKO NAIVASHA

Polisi huko Naivasha Kaunti ya Nakuru, wanachunguza ajali ya barabara ambapo watu saba wa familia moja wamefariki. Ajali hiyo imetokea katika barabara ya Naivasha-Longonot usiku wa kuamkia leo, ikisababisha vifo vya watoto wanne na watu wazima watatu. Miili ya marehemu imepelekwa katika hifadhi ya maiti ya Naivasha ikisubiri uchunguzi wa maiti. Imetayarishwa na Janice Marete

POLISI WACHUNGUZA MAUAJI HUKO MALAVA

Polisi wameanzisha uchunguzi wa mauaji ya mzee wa miaka 73 katika kijiji cha Ikoli, Malava, huku Mkewe akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini. Inadaiwa washambuliaji walivamia boma lao usiku wa manane, wakimuua mzee huyo na kumkata ulimi mkewe huku ripoti za awali zinaonyesha kuwa marehemu alikataa kutoa hati ya ardhi kwa ndugu zake. Chifu Moses Namutali […]

OILERS WATINGA FAINALI YA ESS

Menengai Oilers wamefuzu kwa fainali yao ya kwanza ya Eric Shirley Shield (ESS) baada ya kushinda Kabras RFC 25-20 katika nusu fainali. Nahodha wa Oilers, Tony Oketch, ameisifu timu yake kwa uthabiti wao, akisema wachezaji wake wameonyesha moyo mkubwa licha ya changamoto za majeraha na umri mdogo. Oilers waliongoza kwa 20-10 kufikia mapumziko na licha […]

MOROCCO YAILAZA UGANDA 5-0 KATIKA CAF U-17

Morocco ilianza michuano ya CAF U-17 kwa ushindi mnono wa 5-0 dhidi ya Uganda kwenye Kundi A. Ilies Belmokhtar na Driss Aït Chiekh walifunga mabao mawili ya haraka, huku Ziyad Baha akifunga penalti kabla ya Belmokhtar kuongeza la nne kabla ya mapumziko. Uganda ilijaribu kurejea, lakini kipa Chouaib Bellaarouch aliokoa juhudi zao. Ziyad Baha alikamilisha […]

OWALO: SERIKALI IKO KWENYE NJIA SAHIHI

Wananchi wanaendelea kunufaika na miradi ya serikali ya Kenya Kwanza inayotekelezwa kulingana na manifesto yake, amesema Naibu Mkuu wa Wafanyakazi katika Ofisi ya Rais, Eliud Owalo. Owalo amewahimiza wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kuboresha maisha yao zaidi. Kwa mujibu wa tathmini ya maendeleo, gharama ya maisha imepungua, pembejeo za kilimo zimekuwa nafuu, […]

JESHI LA SUDAN LAAPA KUISAMBARATISHA RSF

Mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amekataa maridhiano na RSF, akiapa kuisambaratisha. Hata hivyo, amesema wapiganaji wanaojisalimisha na kuweka silaha chini wanaweza kusamehewa. Jeshi limedhibiti Soko Libya, eneo muhimu Omdurman, na kudai ushindi Khartoum huku vita hivyo vya miaka miwili vikisababisha baa la njaa na mzozo mbaya wa kibinadamu, na kupelekea zaidi ya […]

5 Proven Strategies to Maximize Your Wins at R2P Bet Online Casino

5 Proven Strategies to Maximize Your Wins at R2P Bet Online Casino Finding a safe place to gamble online can feel like searching for a needle in a haystack. The market is crowded, and not every site puts players first. That’s why many UK players turn to expert‑curated rankings that sift out the noise. Below […]

Insider Secrets to Elite Casino Bonuses and Live Dealer Action

Insider Secrets to Elite Casino Bonuses and Live Dealer Action High‑rollers need more than flashy graphics. They need a platform that protects their money, pays out quickly, and offers games that match their skill level. The first line of defense is a UKGC license. A licence from the UK Gambling Commission guarantees that the casino […]

Mastering Christmas Free Spins and Playoff Betting with Superbet

Mastering Christmas Free Spins and Playoff Betting with Superbet The holiday season brings festive cheer, but it also offers a perfect backdrop for boosting your bankroll. Imagine swapping a cold winter night for the excitement of live NBA playoff action, while enjoying generous free‑spin offers that feel like gifts under the tree. If you’ve ever […]

SERIKALI KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAKOPESHAJI KUTOKA NJE

Kama njia mojawapo ya kuhahakisha kuwa serikali kuu haitalemewa na mzigo wa deni la umma na kupunguza utegemezi wake wa wakopeshaji kutoka nje, wizara ya fedha sasa ina mkakati mpya ambapo inapanga kukopa fedha kutoka kwa wakopeshaji wa ndani kwa asilimia kubwa kwa ajili ya kutekeleza miradi ya serikali kuu na ile ya kaunti. Akizungumza na […]