MAAFISA WA KAUNTI 47 WASAFISHWA NA EACC
Msemaji wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC Erick Ngumbi amesema kuwa tume hiyo imeanzisha uchunguzi wa mitindo ya maafisa wa kaunti zote 47 ili kuwachukulia hatua maafisa wanaojihusisha na ufisadi.
Ngumbi aidha ameongeza kuwa hatua hiyo inafuatia Sakata ya ufisadi ambayo imefichuliwa katika kaunti ya Bomet ambapo jumla ya shilingi milioni 372 zimefujwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































