SERIKALI KUKARABATI UPYA HOSIPITALI YA RUFAA YA KAKAMEGA
Serikali ya kitaifa itatumia kima cha shilingi bilioni kumi kuanzisha upya ujenzi wa Hosipitali ya rufaa ya kakamega na shilingi bilioni tatu kuboresha uwanja wa bukhungu katika kaunti ya Kakamega.
Kwa mujibu wa gavana wa kaunti hiyo Ferdadez Barasa rais William Ruto ameahidi kukamilisha miradi hiyo iliyokwama kwa muda mrefu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































