#Sports

LUGALIA ASAHABIKIA USHINDI WAO DHIDI YA MUSINGU

Kocha mkuu wa mpira wa magongo wa St. Antony Kitale Kevin Lugalia anasema ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wapinzani wao wakuu wa Shule ya Upili ya Musingu katika michezo inayoendelea ya Shule za Afrika Mashariki ni motisha kubwa ambayo timu hiyo inaelekea pazuri.

Lugalia anaamini kuwa ushindi huo umeongeza ari ya timu na anaamini wana kila kinachohitajika kutwaa taji hilo waliloshinda mara ya mwisho mwaka 2019.

Imetayarishwa na Nelson Andati

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *