#Local News

MWANZO WA UFUNGUZI WA MWISHO

Wanafunzi wa shule za msingi na upili kote nchini wamerejelea muhula wa tatu na wa mwisho ambao umeratibiwa kuwa mfupi na muhimu zaidi, ukianza hii leo hadi mwishoni mwa mwezi Oktoba kabla ya mitihani ya kitaifa.

Wengi wa wazazi wamelalamikia kupanda kwa gharama ya vitabu vya wanafunzi na ada za usafiri, wakiitaka serikali kudhibiti uuzaji wa vitabu na sekta ya uchukuzi ili kuwalinda dhidi ya ongezeko hilo.

Mapema leo, msongamano wa magari umeshuhudiwa katika barabara za miji kadhaa, wanafunzi wanaporejea shuleni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MWANZO WA UFUNGUZI WA MWISHO

POLISI WAIMARISHA MSAKO TRANS NZOIA

MWANZO WA UFUNGUZI WA MWISHO

HOSPITALI YAWAKATAA WAFUNGWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *