#Local News

WAKULIMA BUSIA KUNUFAIKA NA MFUMO WA KUONGEZA MAZAO

Serikali ya kaunti ya Busia imezindua mradi wa kuongeza dhamani ya mazao ya kilimo katika juhudi za kuinua viwango vya kilimo kaytika kaunti hiyo

Wakiongozwa na Garisson Wandera wakulima wanasema kupitia mradi huo mazao yao yataimarika huku wakiipongeza serikali ya kaunti kwa kuanzisha mradi huo

Vile vile wameitaka serikali ya kaunti kuhakikisha kwamba mradi huo unatekeleza majukumu yake kikamilifu ili kuinua mapato ya wakulima

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKULIMA BUSIA KUNUFAIKA NA MFUMO WA KUONGEZA MAZAO

KAUNTI KUPOKEA MGAO WA BILIONI 400

WAKULIMA BUSIA KUNUFAIKA NA MFUMO WA KUONGEZA MAZAO

UMEME MASHINANI KAUNTI YA KISII

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *