WAKULIMA BUSIA KUNUFAIKA NA MFUMO WA KUONGEZA MAZAO

Serikali ya kaunti ya Busia imezindua mradi wa kuongeza dhamani ya mazao ya kilimo katika juhudi za kuinua viwango vya kilimo kaytika kaunti hiyo
Wakiongozwa na Garisson Wandera wakulima wanasema kupitia mradi huo mazao yao yataimarika huku wakiipongeza serikali ya kaunti kwa kuanzisha mradi huo
Vile vile wameitaka serikali ya kaunti kuhakikisha kwamba mradi huo unatekeleza majukumu yake kikamilifu ili kuinua mapato ya wakulima
Imetayarishwa na Janice Marete