MBADI ABASHIRI UKUAJI WA UCHUMI
Taifa la Kenya litapata afueni ya kiuchumi kati yam waka 2034-48 wakati ambapo taifa halitakuwa na mikopo ya kulipia ya Eurobond.
Haya ni kwa mujibu wa waziri wa fedha John Mbadi akizungumza kwenye kikao na wananchi katika bustani ya Jivanjee jijini Nairobi kuhusiana na bajeti ya kitaifa.
Ameongeza kuwa taifa litaanza kulipia mikopo hiyo kuanzia mwaka 2027 hadi mwaka 2034.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































