#Local News

WIZARA YA AFYA YATAKIWA KULAINISHA MFUMO WA AFYA YA JAMII

Wito umetolewa kwa serikali kulainisha huduma za afya zinazotolewa chini ya bima mpya ya afya ya jamii SHA ili kuondolea mkenya mzigo wa gharama ya matibabu.

Imebainika kuwa ipo hjaja ya serikali kuendelea kutumia mifumo ya afya iliyopo inapoendelea kulainisha mifumo ya sasa ili kuhakikisha wakenya wote wanaendelea kunufaika na huduma za afya kabla watatue changamoto zilizopo.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *