#Local News

OWALO: SERIKALI IKO KWENYE NJIA SAHIHI

Wananchi wanaendelea kunufaika na miradi ya serikali ya Kenya Kwanza inayotekelezwa kulingana na manifesto yake, amesema Naibu Mkuu wa Wafanyakazi katika Ofisi ya Rais, Eliud Owalo.

Owalo amewahimiza wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kuboresha maisha yao zaidi.

Kwa mujibu wa tathmini ya maendeleo, gharama ya maisha imepungua, pembejeo za kilimo zimekuwa nafuu, na zaidi ya nyumba 130,000 zimejengwa huku ajira 200,000 zikiundwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *