#Local News

SERIKALI IKO TAYARI KUKABILIANA NA WALAGHAI KATIKA IDARA YA ARTHI

Katibu wa arthi Nickson Korir amesisitiza mageuzi yanayofanywa na serikali katika juhudi za kurahisisha shughuli za arthi humu nchini.

Amethibitisha kwamba makampuni mengi ambayo yamekuwa yakiwalaghai wakenya kwa muda mrefu yatafutiliwa mbali na kuahidi kuhakikisha kwamba wamiliki na miamala ya arthi humu nchini inafanyika kwa uwazi.

Imetayarishwa na Janice Marete

SERIKALI IKO TAYARI KUKABILIANA NA WALAGHAI KATIKA IDARA YA ARTHI

KAMATI YA FEDHA YA BARAZA LA MAGAVANA

SERIKALI IKO TAYARI KUKABILIANA NA WALAGHAI KATIKA IDARA YA ARTHI

RUTO AFUNGUA NJIA KWA IEBC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *