WASHUKIWA WA KISUNZI CHA KOIMBURI WAPEWA DHAMANA
Mahakama ya Milimani imewaachia huru washukiwa wanne wanaohusishwa na madai ya utekaji nyara wa mbunge wa Juja George Koimburi kwa dhamana ya shilingi milioni 1 kila mmoja na mdhamini wa kiasi sawa na hicho au bondi ya shilingi elfu 300 pesa taslimu. Hakimu Carolyne Nyaguthii ametoa uamuzi huo amewazuia washtakiwa ambao ni mwakilishi wadi Grace […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































