#Local News

ODINGA ASHUTUMU ‘AMRI YA KUUA’ YA MURKOMEN

Kinara wa ODM Raila Odinga amemshutumu waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kutokana na amri ya Murkomen ya kuwataka polisi wawapige risasi watakaokaribia kituo cha polisi, Odinga akiitaja amri hiyo kuwa ya kiholela.

Akizungumza kwenye hafla moja katika eneo la Bondo, Odinga amemtaka Murkomen kuiheshimu sheria, inayowataka polisi kuwalinda raia Pamoja na mali zao.

Hata hivyo, Murkomen amejitetea akisema alinukuliwa visivyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODINGA ASHUTUMU ‘AMRI YA KUUA’ YA MURKOMEN

UBONGO WA MCHUUZI KARIUKI WAFA

ODINGA ASHUTUMU ‘AMRI YA KUUA’ YA MURKOMEN

WABUNGE WATISHIA KUMBANDUA MURKOMEN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *