#Local News

DPP INGONGA NDIYE RAIS WA APA

Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Renson Ingonga amechanguliwa kwa kauli moja kuwa rais wa chama cha wakurugenzi wa mashtaka barani afrika APA, na kuchukua mahali pa mwanzake Mohammed Sawqi Ayyad wa Misri.

Uchaguzi wake umefanyika wakati wa kongamano la 17 la kila mwaka lilioandaliwa jijini Marrakech, Moroko.

Katika hotuba yake ya kukubali uchaguzi huo, Ingonga ameahidi kujitolea kwake kufanikisha malengo ya chama hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

DPP INGONGA NDIYE RAIS WA APA

MAANDAMANO YALEMAZA BIASHARA BOMET

DPP INGONGA NDIYE RAIS WA APA

USHURU MTALIPA, MAHAKAMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *