WANAHARAKATI WAANDAMANA KUSHUTUMU TANZANIA
Baadhi ya wanaharakati wameandama nje ya afisi za ubalozi wa Tanzania jijini Nairobi wakilalamikia hatua ya taifa hilo kuwazuilia na kisha kuwafurusha mawakili na wanaharakati waliokuwa wameelekea nchini humo kufuatilia kesi kuhusu uhaini inayomkabili kiongozi wa upinzani nchini Tundu Lissu.
Kulingana na wanahabarakati hao, hatua ya Tanzania sit u ukiukaji wa haki za kibinadamu, bali uvunjaji wa mkataba wa kidiplomasia.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































