#Local News

HATUTIKISIKI, KINDIKI AAPA KUHUSU MIRADI YA SERIKALI

Licha ya ukosoaji mkali dhidi ya baadhi ya sera na miradi ya serikali, naibu rais Kithure Kindiki amesema kuwa serikali ya Kenya Kwanza ipo tayari kufanya maamuzi magumu kuhusiana na utekelezaji wa miradi na sera zake.

Kwenye kikao na wakenya wanaoishi nchini Namibia, Kindiki amesema serikali imejitolea kuimarisha sekta muhimu ili kufufua uchumi ambao umedorora licha ya hatua hiyo kutishia kuhatarisha umaarufu wa serikali hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

HATUTIKISIKI, KINDIKI AAPA KUHUSU MIRADI YA SERIKALI

HISIA ZA SHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *