#Local News

WABUNGE WATISHIA KUMBANDUA MURKOMEN

Wabunge wanaogemea mrengo wa aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua wametishia kuwasilisha bungeni hoja ya kumtimua kutoka mamlakani waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kutokana na amri yake inayowataka polisi kuwafeytulia risasi wanaokaribia vituo vya polisi.

Wakiongozwa na mbunge wa Manyatta kaunti ya Embu Gitonga Mukunji, wabunge hao wamesema amri hiyo inalenga kuendeleza mauaji ya kiholela.

Hata hivyo, Mukunji amehofia hoja hiyo kukosa kufanikiwa kwa madai kwamba bunge limetekwa na serikali tendaji.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WABUNGE WATISHIA KUMBANDUA MURKOMEN

MATIANG’I AHIMIZA MAZUNGUMZO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *