ACHENI MZAHA, RAIS RUTO KWA WAKENYA
Wakenya wametakiwa kuondoa mzaha katika masuala yenye umuhimu kwa taifa, ikiwemo miradi ya maendeleo.
Akirejelea ahadi yake ya kujenga barabara ya Garhe hadi Modogashe katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi, Rais William Ruto amesema eneo hilo limetelekelezwa kwa miaka mingi na atahakikisha usawa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































