PESA ZA AFISI ZETU ZIKO WAPI? MCA BUNGOMA WALALAMA

Wawakilishi wa wadi wateuli katika bunge la kaunti ya Bungoma wanalalamikia hatua ya wabunge wa kaunti hiyo kuwanyima fedha za kuwaajiri wafanyikazi katika afisi zao licha ya fedha hizo kutengwa katika bajeti hatua ambayo kulingana nao imelemaza shughuli za maendeleo katika afisi zao.
Imetayarishwa na Janice Marete