EPRA YATOA MWONGOZO WA MATUMIZI YA KAWI SAFI
Mamlaka ya kawi na petroli nchini EPRA imetoa mwongozo wa kuimarisha matumizi ya kawi safi.
Akizungumza jijini nairobi katika hafla ya kuzindua muongozo huo afisa mkuu mtendaji wa EPRA Daniel Kiptoo amesema serikali inalenga kuongeza matumizi ya magari yanayotumia umeme katika juhudi za kukabili machafuzi ya mazingira kwa kupunguza kodi ya uagizaji wa magari hayo.
Imetayarisha na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































