#Local News

POLISI WAIMARISHA DORIA NAIROBI 

Usalama umeimarishwa katika jiji la Nairobi huku matayarisho ya ibada ya kitaifa ya mazishi ya waziri mkuu wa zamani Raila Odinga yakiendelea.

Polisi wameshika doria katika majengo ya bunge, uwanja wa michezo wa Nyayo na kwenye barabara mbali mbali ikiwemo Bunyala, Lang’ata na Uhuru Highway.

Polisi wameshika doria kuanzia alfajiri, baadhi wakitumia farasi, huku maelfu ya wakenya wakiwa tayari wamewasili katika uwanja wa Nyayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI WAIMARISHA DORIA NAIROBI 

IBADA YA MAZISHI YA ODINGA KUANZA

POLISI WAIMARISHA DORIA NAIROBI 

KABURI LA ODINGA LAANDALIWA BONDO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *