#Business

WASIWASI WA MATUMIZI YA BILIONI 1.34 BILA USHAHIDI WA MIRADI

Wasiwasi umeibuliwa kuhusu matumizi ya Shilingi bilioni 1.34 na Idara ya Utumishi wa Umma katika nusu ya kwanza ya mwaka wa kifedha wa 2024/25 bila ushahidi wa miradi iliyokamilika.

Mdhibiti wa Bajeti (CoB), Margaret Nyakang’o, anasema licha ya mgao wa kufadhili majengo ya serikali, njia za watembea kwa miguu, na udhibiti wa ujenzi, hakuna matokeo yaliyorekodiwa.

Kulingana na ripoti hiyo malengo kama ujenzi wa madaraja ya miguu na ukaguzi wa majengo 500 hayajatekelezwa.

Imetayarishwa na Maureen Amwayi

WASIWASI WA MATUMIZI YA BILIONI 1.34 BILA USHAHIDI WA MIRADI

TUTAHAMAISHA MICHEZO HADI KASARANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *