#Local News

POLISI WAWILI WAKAMATWA KIRINYAGA

Maafisa wawili wamekamatwa kwa madai ya kushirikiana na mshukiwa wa mauaji raia wa Uganda katika kaunti ya Kirinyaga.


Mshukiwa huyo anayedaiwa kutoroka katika kituo cha polisi cha Kiamasiri alikamatwa mwezi uliopita kwa tuhuma za mauaji ya mwajiri wake novemba mwaka jana.


Kwa mujibu wa familia ya marehemu mshukiwa alitoroka ijumaa wiki iliyopita kabla ya kufikishwa mahakamani leo hii.

Imetayarishwa na Janice Marete.

POLISI WAWILI WAKAMATWA KIRINYAGA

HATIMA YA NYUMBA ZA BEI NAFUU KUJULIKANA

POLISI WAWILI WAKAMATWA KIRINYAGA

UPATANISHI WA LAZIMA NI MUHIMU: JAJI REUBEN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *