#Local News

TANZANIA YAMULIKWA KWA UKIUKAJI

Serikali ya Tanzania imejipata chini ya darubini ya jamii ya kimataifa kuhusu visa vya ukiukaji wa haki za kibinadamu, shirika la Amnesty International likisema visa hivyo vinaongezeka taifa hilo linapojiandaa kwa uchaguzi mkuu ambao umewaacha nje viongozi wa upinzani.

Licha ya kusifiwa awali kwa kuondoa vikwazo vya mtangulizi wake John Magufuli, Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan amejipata chini ya shutuma kutoka kwa upinzani na mashirika yasiyo ya kiserikali.

Visa vya utekaji nyara vimeripotiwa pakubwa, waathiriwa wakiwa viongozi wa upinzani akiwemo kiongozi wa CHADEMA Ali Mohammed mwenye umri wa miaka 69 aliyetoweka na kupatikana ameuawa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TANZANIA YAMULIKWA KWA UKIUKAJI

KCSE KUANZA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *