#Local News

RUTO ANADI MAKAZI NAFUU KISII

Rais William Ruto ameendelea kupigia debe mradi wa ujenzi wa makazi ya bei nafuu akikariri kwamba unalenga kubuni nafasi za ajira kwa vijana.

Kulingana na Rais, kaunti ya Kisii imeratibiwa kunufaika na ujenzi wa takribani nyumba 10,000 katika awamu ya kwanza.

Aidha, Ruto amesema sekta ya dijitali itabuni nafasi zaidi za ajira.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO ANADI MAKAZI NAFUU KISII

MWANGAZA KUFIKA SENETI KESHO

RUTO ANADI MAKAZI NAFUU KISII

USHAURI WA ARATI KWA GACHAGUA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *