MOSHI WA UFISADI WAFUKA KOTE
Madai ya ufisadi dhidi ya wabunge yaliyoibuliwa na Rais William Ruto yameendelea kuibua mijadala nchini, baadhi ya washikadau wakitilia shaka kauli hizo na kujitolea kwa rais kuangamiza ufisadi.
Kwenye mahojiano na runinga moja nchini, waziri wa zamani Mukhisa Kituyi, amemlaumu Rais Ruto kutokana na visa vya ufisadi vinavyoshuhudiwa nchini.
Amemtaka Rais kuamuru kesi za ufisadi alizoamuru ziondolewe mahakamani zirejelewe.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































