#Local News

WAHUDUMU WA UHC WAPATA AFUENI

Hatimaye mustakabali wa wahudumu wa afya walio chini ya mpango wa afya ya wote UHC umepata suluhu baada ya serikali kuu kusitisha zoezi la kuwahamishia kwa serikali za kaunti na badala yake kukubali kuwalipa mishahara yao kulingana na viwango vya tume ya SRC kwa mwaka mmoja ujao.

Makubaliano hayo yalijiri kufuatia mazungumzo ya dakika za mwisho baina ya serikali kuu na baraza la magavana, na kumaliza vuta nikuvute iliyokuwa imewaweka wahudumu hao katika njia panda.

Aidha, serikali imekubali kutoa malipo ya SHA kwa hospitali za umma zilizo chini ya kaunti kufikia kila tarehe 14.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAHUDUMU WA UHC WAPATA AFUENI

SAKAJA APONEA MJELEDI WA BUNGE

WAHUDUMU WA UHC WAPATA AFUENI

ACHA LALAMA MTOE SULUHU, SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *