UASU YATISHIA KUITISHA MGOMO
Muungano wa wafanyikazi wa vyuo vikuu Uasu umetishia kuwaagiza wanachama wake kususia kazi kuanzia mwezi Septemba iwapo serikali itatekeleza mpango wowote wa kuwaachisha kazi wahadhiri wa vyuo vikuu.
Wakiongozwa na katibu wa Uasu Constantine Wasonga wamepuuzilia mbali usemi wa waziri wa fedha John Mbadi kuwa serikali haina fedha za kutosha kufadhili elimu.
Imetayarishwa na Maureen Amwai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































