#Local News

MPOX YAZIDI KUENEA

Unatakiwa kuchukua tahadhari kujilinda dhidi ya ugonjwa wa Mpox.Tayari visa 137 vimeripotiwa katika kaunti 17 nchini.

Katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni anasema sampuli 597 zimefanyiwa vipimo katika mahabara ya kitaifa.

Watu wengine 400 waliokuwa karibu na waathiriwa wametambuliwa na 15 kati yao wamepatikana na virusi vya Mpox.

Imetayarishwa na Maureen Amakhobe

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *