#Local News

ODINGA ATOA ARDHI KWA SERIKALI

Mpango wa serikali kujenga makazi ya bei nafuu kwa wakazi wa Kisumu umepigwa jeki, baada ya kinara wa ODM Raila Odinga kutoa hisani ya ekari 5 za shamba la kifamilia katika eneo la Kirembe ili kufanikisha ujenzi wa nyumba hizo.

Akiwa kwenye ziara yake, Rais Ruto amempongeza Odinga kutokana na hisani hiyo, akisema serikali itawekeza shilingi bilioni 3.5 kuwezesha ujenzi huo utakaowanufaisha takribani wakazi 1,000.

Naye Odinga amesema makazi hayo yatasaidia kupunguza matatizo ya nyumba eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODINGA ATOA ARDHI KWA SERIKALI

UTATA WA MUHURI WATATULIWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *