#Athletics #Sports

JULIUS YEGO ANAZIDI KUTAMBA

Bingwa wa zamani wa dunia Julius Yego alinakili urushaji wake bora msimu huu aliporusha mkuki kwa umbali wa mita 87.72 na kumaliza wa tano katika fainali ya kurusha mkuki kwa wanaume ambayo ilishindwa na Arshad Nadeem wa Pakistan na rekodi mpya ya Olimpiki ya mita 92.97 jana usiku.

Yego mshindi wa medali ya fedha 2016 alisema Olimpiki ya Paris ndiyo ilikuwa safari bora zaidi kwake licha ya kukosa kumaliza jukwaani.

Bingwa huyo wa dunia wa 2015 hata hivyo alionya Kenya itasalia nyuma iwapo mambo yataendelea kama kawaida.

Imetayarishwa na Nelson Andati

JULIUS YEGO ANAZIDI KUTAMBA

FAITH ATARAJIWA KUFANYA VYEMA

JULIUS YEGO ANAZIDI KUTAMBA

KIKOSI CHA PILI CHATUA PARIS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *