#Local News

POLISI KUIMARISHA OPERESHENI MATUNGU, KIRINYAGA

Wakazi wanaoishi katika maeneo yanayokumbwa na utovu wa usalama wanatarajia kupata afueni kufuatia hakikisho la serikali kutangaza operesheni maalum katika maeneo hayo kwa lengo la kukabili magenge ya kihalifu.

Baadhi ya maeneo hayo ni Kerugoya na Ngurubani kaunti ya Kirinyaga, Matungulu na Matungu kaunti za Machakos na Kakamega mtawalia.

Hata hivyo, akizungumza akiwa katika bunge la seneti kujibu maswali yaliyoibuliwa na maseneta, Murkomen ameahidi hatua Madhubuti kuchukuliwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI KUIMARISHA OPERESHENI MATUNGU, KIRINYAGA

UTULIVU WAREJEA MAJENGO NAIROBI

POLISI KUIMARISHA OPERESHENI MATUNGU, KIRINYAGA

SHOKA LA KK, FURAHA YA ODM

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *