WANAFUNZI WA CHUO CHA KITAIFA CHA KIUFUNDI BUNGOMA WAANDAMANA

Wanafunzi wa chuo cha kitaifa cha kiufundi cha Bungoma wanalalamikia kuongezwa kwa kodi ya kukodi vyumba vya malazi tangu chuo hicho kupandishwa hadhi kuwa chuo cha kitaifa, huku wakiwataka wamiliki wa vyumba hivyo kufikiria uamuzi wao kutokana na ugumu wa MaishaWanafunzi hao vile vile wamewataka viongozi kuingilia kati ili kumwachilia kuiongozi wa wanafunzi anayezuiliwa na maafisa wa polisi kwa kuongoza maandamano kupinga kodi hiyo mpya.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































