#Local News

RAIS ASHTUMU KIFO CHA OJWANG

Rais William Ruto ameshtumu kifo cha mwanablogu Albert Ojwang akisema waliohusika wanastahili kuchukuliwa hatua pasipo kuzingatia cheo wanachoshikilia.

Rais ameitaka idara ya polisi kushirikiana na mamlaka ya kuangazia utendakazi wa polisi Ipoa katika uchunguzi kwenye kifo hicho akisema polisi wana jukumu la kulinda usalama na maslahi ya washukiwa wanapokamatwa.

Imetayarishwa na Maureen Amwai

RAIS ASHTUMU KIFO CHA OJWANG

CBK YAPUNGUZA RIBA YA MIKOPO

RAIS ASHTUMU KIFO CHA OJWANG

IG AOMBA TAIFA MSAHAMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *