#Local News

RUTO AAGIZA NYS KUWASAJILI WATU 20,000 MWAKA UJAO

Rais William Ruto ameagiza Huduma ya Vijana kwa taifa (NYS) kuongeza idadi ya walioajiriwa hadi 20,000 katika uhudumu wao ujao.

Akizungumza alipoongoza gwaride la kufuzu kwa makurutu wa NYS huko Gilgil, Ruto amesema kundi la mwaka huu lilikuwa karibu watu 15,000 na anafurahia hilo.

Alisema serikali itahakikisha vijana wengi zaidi wananufaika na mafunzo yanayotolewa na NYS.

Imetayarishwa na Janice Marete

RUTO AAGIZA NYS KUWASAJILI WATU 20,000 MWAKA UJAO

NI SHULE AU NYUMBANI?

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *