#uncategorized

RAIS BORA ZAIDI NI MIMI, RUTO ATANGAZA

Mimi ndiye rais bora zaidi ambaye amewahi kuiongoza Kenya tangu kupatikana kwa uhuru, nikiwa rais wa pekee mwenye shahada ya Uzamivu.

Ndiyo kauli ya rais William Ruto, akizungumza baada ya kupokea viongozi kutoka kaunti ya Tharaka Nithi katika Ikulu ya Nairobi, ambako alizindua mipango ya ukarabati wa daraja lenye maafa la Nithi.

Rais amesema yeye ni bora zaidi ya watangulizi wake wote kwa Pamoja.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS BORA ZAIDI NI MIMI, RUTO ATANGAZA

ZETECHS WAKWEA HADI KILELENI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *