#Local News

UTEUZI WA TUME

Wakenya 6 zaidi wanahojiwa hii leo katika kinyang’anyiro cha kujaza nafasi za makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC.

Miongoni mwa walihojiwa tayari hii leo ni wakili Mary Kigen, ambaye ameahidi kutumia ujuzi wake wa kisheria kuboresha utendakazi wa IEBC.

Haya yanajiri huku waziri mteule wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku na mwenzake wa jinsia Hannah Wendot Cheptumo wakiratibiwa kuhojiwa hii leo na kamati ya uteuzi ya bunge la kitaifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UTEUZI WA TUME

HATMA YA ‘WANYAKUZI’ WA ARDHI, MAAFISA

UTEUZI WA TUME

KUPPET YAIKABA TSC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *