MASHIRIKA SITA YASHUTUMIWA KWA KUTOWAFIDIA WAADHIRIWA WA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA
Mashirika 6 ya ujenzi wa barabara yamelaumiwa kwa kucheleweshwa kuwafidia watu walioathiriwa ili kupisha miradi 123 ya ujenzi wa barabara kote nchini.
Tume ya kitaifa ya arthi imefichua kuwa mashirika hayo yanadaiwa fidia ya shilingi bilioni 56 kwa watu walioathiriwa licha ya miradi hiyo kukamilika.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































