#Local News

SERIKALI YATANGAZA TAREHE MPYA YA LIKIZO FUPI KWA WANAFUNZI

Wizara ya Elimu imefanya marekebisho ya tarehe za likizo fupi ili kufidia muda wa masomo uliopotea wakati shule zikilazimika kufungwa kutokana na mafuriko.

Kufuatia mabadiliko hayo, yaliyowasilishwa na Katibu Mkuu wa Elimu Dkt Belio Kipsang Jumatano, wanafunzi wa chekechea, shule za msingi na upili wanatarajiwa kuelekea likizo fupi kuanzia 26 hadi 28 Juni mwaka huu.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *