#Local News

USHIRIKIANO WA KENYA-FINLAND

Uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano wa kibiashara baina ya Kenya na Finland unatarajiwa kuimarika kufuatia mikataba mbali mbali itakayotiwa Saini kati ya Rais William Ruto na mwenzake wa taifa hilo Alexander Stubb ambaye yuko nchini.

Alexander na mkewe Suzanne Ines-Stubb wamepokelewa katika Ikulu ya Nairobi kwa ziara ya siku 3 humu nchini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

USHIRIKIANO WA KENYA-FINLAND

SERIKALI YATANGAZA AFUENI MAU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *