#Local News

WADHIFA ULIOBAKI KWENYE BARAZA WAWANIWA

Muungano wa watu walio na changamoto za kimaumbile wamemtaka Rais William Ruto kumteua mmoja wao kuwa Waziri wa masuala ya jinsia na torathi za kitaifa, wakisema wametamaushwa kutokana na ukosefu wa mmoja wao kuteuliwa katika baraza la mawaziri.

Kwenye kikao na wanahabari, muungano huo umemtaka RAis kuhakikisha usawa wa uwakilishi kuambatana na katiba ya Kenya.

Aidha, wamesema kuwa kuna watu wengi  walio na changamoto za kimaulbile ila wana uwezo wa kuiongoza wizara hiyo.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

WADHIFA ULIOBAKI KWENYE BARAZA WAWANIWA

TANGAKONA YA GIZA YAWATISHA WAKAZI

WADHIFA ULIOBAKI KWENYE BARAZA WAWANIWA

MAWAZIRI KADHAA WAKABIDHIWA AFISI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *