#Local News

MKENYA STEPHEN MUNYAKHO SASA YUKO HURU

Mkenya Stephen Munyakho aliyehukumiwa kifo huko Saudia Arabia sasa yuko huru na anatarajiwa kurejea nchini.

Haya ni kwa mujibu wa katibu katika wizara ya masuala ya kigeni Korir Sing’oei anayesema watatoa taarifa zaidi kuhusu mipango na siku atakaporejea nchini.

Munyakho ambaye sasa anajulikana kama Abdul kareem alipewa hukumu hiyo baada ya kupigana na mwenzake raia wa Yemen wakiwa kazini mwaka wa 2011 na kisha majeraha aliyopata raia huyo kupelekea kifo chake.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

MKENYA STEPHEN MUNYAKHO SASA YUKO HURU

FICHUA KWA DCI KUPITIA WHATSAPP

MKENYA STEPHEN MUNYAKHO SASA YUKO HURU

AKINA MAMA WADAI KULA KWA MACHO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *